Pages: 162

Year: 2018

Dimensions: 198 x 129mm

ISBN:
Shipping class: POD

Hofu

Ni nani hasa anayewaua viongozi wa wapigania uhuru? Kwa nini wengi wa viongozi hawa wameuawa jijini Kinshasa kuliko mahali pengine popote Afrika? Ili kukomesha vitendo hivi vya kijahili, Umoja wa Nchi Huru za Kiafrika (OAU) unakata shauri kuwasaka wauwaji hawa na kuwafagilia mbali. Willy Gamba, mpelelezi maarufu wa Afrika, anachaguliwa kuongoza kikosi cha wapelelezi wa Kiafrika kuwasaka. Kinshasa, jiji linalosifika kwa starehe zake linageuka uwanja wa mapambano kati ya vijana wapiganaji shupavu wakiongozwa na Willy Gamba, na wapinga mapinduzi wakiongozwa na Kaburu Pierre Simonard.Willy pamoja na kikosi chake wanalivamia jiji la Kinshasa kuhakikisha wanakomesha mauaji hayo. Ndipo patashika ambalo halijawahi kutokea barani Afrika linapoanza na kuliwasha moto jiji hili…

£17.00£18.00

About the author

E.A. Musiba

The four books in this series of detective novels, written in Swahili, were authored by the late Aristablus Elvis Musiba. The novels follow the exploits of Willy Gamba, an elite special operations Tanzanian intelligence officer. Set in various locations in Africa Willy is dispatched to neutralise agents within the Apartheid Regime as well as saboteurs, who are out to destroy those involved with the liberation struggles being waged in Southern Africa.

Related books

Penzi la Damu

£16.00£17.00

Kufa na Kupona

£17.00£18.00

Njama

£18.00

Kikosi cha Kisasi

£17.00£18.00

Zawadi ya Ushindi

£15.00£16.00

Nyuma ya Mapazia

£15.00£16.00

Dimbwi la Damu

£15.00£16.00

Salamu Kutoka Kuzimu

£15.00£16.00

Pesa Zako Zinanuka

£15.00£16.00