• Search
  • Pages: 194

    Year: 2004

    Dimensions: 178 x 127 mm

    ISBN:
    Shipping class: POD

    Mtambo wa Mauti

    Mona Lisa, msichana mwenye sura ya malaika na umbo la malkia
    anafakiwa kuutikisa ujabali wa Joram Kiango hata akakubali kustarehe
    naye. Joram Kiango anajikuta katika mkasa mzito na wa kutisha, na ambao
    hajawahi kukutana nao maishani alipokurupuka usiku wa manane na kumkuta
    Mona Lisa akiwa maiti, tundu la risasi likivuja damu kifuani mwake.
    Mkasa unazidi kuwa mzito pale Mona Lisa, aliyekufa anapotokea, tena
    katika kila maficho ya Joram Kiango. Kila anapotokea maisha ya watu
    wengi wasiokuwa na hatia yanaangamia. Mona Lisa ni binadamu wa kweli? Ni
    jini au ni malaika? Ni miongoni mwa maswali ambayo nusura yamtie wazimu
    Joram Kiango, jeshi zima na vikosi vyote vya usalama. Ungana naye Joram
    kutatua kizungumkuti hiki kiso mwisho.

    Price range: £15.00 through £16.00

    About the author

    Ben R. Mtobwa

    The late Ben Mtobwa was one of Tanzania’s most prolific and prominent novelists. He was one of the founders of the popular novel in Swahili and is best know for his series of adventure novel featuring the investigator Joram Kiango.

    Related books

    Njama

    £18.00

    Hofu

    Price range: £17.00 through £18.00

    Kikosi cha Kisasi

    Price range: £17.00 through £18.00