Publisher: East African Educational Publishers, Kenya
Pages: 152
Year: 1984
Category: Literature, Politics & Espionage
Dimensions: 178 x 127 mm
Nyuma ya Mapazia
Tanzania iliingia katika uchaguzi mkuu ulioshirikisha vyama vingi
kwa mara ya kwanza mwaka wa 1995. Kampeni kubwa za kitaifa na kimataifa
zilifanyika hadharani na sirini. Yako mengi yaliyokuwa yakiendelea
‘Nyuma ya Mapazia’. Mengi ya kutisha na kuogofya, na ambayo yaliambatana
na matumizi makubwa ya pesa, mauaji ya kikatili na ujambazi usio na
kifani. Joram Kiango, Inspekta Kombora na kikosi kizima cha polisi
wanagonga mwamba katika harakati zao za kutatua kizungumkuti hicho.
Kutokweka kwa King Halfan King na maiti ya mpenziwe kupatikana ikielea
ufukweni wa Bahari ya Hindi kunazidisha maswali mengi bila majibu. Hata
hivyo, kizungumkuti hiki kitatatuliwa?
£15.00 – £16.00
About the author
The late Ben Mtobwa was one of Tanzania’s most prolific and prominent novelists. He was one of the founders of the popular novel in Swahili and is best know for his series of adventure novel featuring the investigator Joram Kiango.