• Search
  • Pages: 182

    Year: 1984

    Dimensions: 178 x 127 mm

    ISBN:
    Shipping class: POD

    Tutarudi na Roho Zetu?

    Nchi za mstari wa mbele katika ukombozi kusini
    mwa Afrika zimetendewa mengi maovu na utawala huu dhalimu… Hata hivyo
    haikupatikana kutokea tishio zito la kutisha kama hili, ambalo
    linakaribia kutokea. Tukio la kutatanisha ambalo linawatoa machozi
    wananchi wa nchi mbalimbali. Wanajitokeza mashujaa kwenda Afrika Kusini,
    lakini kila aendaye huko hurudi na roho yake.

    Inspekta Kombora
    nchini Tanzania jasho linamtoka. Anawathamini mashujaa wengi lakini
    anamtambua shujaa mmoja; Joram Kiango. Jambo la kusikitisha ni kwamba
    sasa hivi, Joram ni mtumiaji mzuri ambaye anatembea kutoka jiji hadi
    jiji akiwa na yule msichana mzuri Nuru. Juhudi za Kombora kumsihi
    hazifui dafu. Badala yake Joram anafanya maajabu mengine ambayo
    yanalichafua jina lake hapa nchini na kote duniani. Wakati huo siku
    ambayo utawala huo umeweka ili kuachia pigo lao la mwisho inazidi
    kukaribia. Sasa yamesalia masaa…

    £16.00

    About the author

    Ben R. Mtobwa

    The late Ben Mtobwa was one of Tanzania’s most prolific and prominent novelists. He was one of the founders of the popular novel in Swahili and is best know for his series of adventure novel featuring the investigator Joram Kiango.

    Related books

    Kufa na Kupona

    Price range: £17.00 through £18.00

    Njama

    £18.00

    Hofu

    Price range: £17.00 through £18.00

    Kikosi cha Kisasi

    Price range: £17.00 through £18.00