Publisher: Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania
Pages: 126
Year: 2001
Category: East Africa, History, Leadership, Political History & Theory, Politics
Dimensions: 207mm x 145mm
Rais wa Watu Azungumza na Wananchi
Hivyo ndivyo asemavyo, Mheshimiwa Rais Benjam Mkapa katika utangulizi wa kitabu hiki cha kwanza katika mfululizo wa vitabu vya hotuba zake za kila mwisho wa mwezi kwa wananchi. Hotuba hizo ni ufunguo wa uelewa sahihi wa siasa, uchumi na masuala ya jamii katika nchi yetu katika kipindi hiki cha historia. Umoja wa taifa, mshikamano na juhudi za maendeleo yanahitaji kipaumbele maalum katika dunia ya leo ya utandawazi, na Mheshimiwa Rais Mkapa anaeleza kwa ufasaha ni nini tunapaswa kufanya ili tuweze kufanikiwa.
This series is a key record of the Presidency of Benjamin Mkapa of Tanzania, who held office from 1995-2005. From 2001 he instituted monthly TV and radio addresses to the Nation on various topics of national, political, social and economic interest. The addresses in these collections are organised chronologically.
£33.00
About the author
Benjamin William Mkapa (born November 12, 1938) was the third President of the United Republic of Tanzania (1995–2005) and former Chairman for the Revolutionary State Party (Chama Cha Mapinduzi, CCM).





