Pages: 194

Year: 2002

Dimensions: 203mm x 127mm

ISBN:
Shipping class: Warehouse

Uwazi na Ukweli Kitabu cha Pili

Rais wa Watu Azungumza na Wananchi

Katika kitabu hiki cha pili kwenye mfululizo wa vitabu vinavyokusanya hotuba zake za kila mwisho wa mwezi (cha tatu kinaandaliwa), Rais Benjamin Mkapa anazungumzia matukio mema na mabaya ya mwaka 2002, pamoja na hatua za maendeleo zilizopigwa na taifa katika nyanja za kisiasa, kijamii na kiuchumi. Rais Mkapa anaeleza kwa kina maana na athari za utandawazi kwetu kama taifa na kwa watu binafsi. Aidha anaendelea kueleza, kufafanua na kutetea sera ya ubinafsishaji na kuonyesha matunda ya sera hiyo bila kupuuza sokomoko kama lile lililofuatia hatua ya kubinafsisha shirika la TANESCO.

This series is a key record of the Presidency of Benjamin Mkapa of Tanzania, who held office from 1995-2005. From 2001 he instituted monthly TV and radio addresses to the Nation on various topics of national, political, social and economic interest. The addresses in these collections are organised chronologically.

£27.00

About the author

Benjamin W. Mkapa

Benjamin William Mkapa (born November 12, 1938) was the third President of the United Republic of Tanzania (1995–2005) and former Chairman for the Revolutionary State Party (Chama Cha Mapinduzi, CCM).

Related books

Uwazi na Ukweli Kitabu cha Tatu

£33.00

Uwazi na Ukweli Kitabu cha Tano

£33.00

Uwazi na Ukweli Kitabu cha Nne

£33.00

Uwazi na Ukweli Kitabu cha Kwanza

£33.00

Mzee Rukhsa

£57.00