• Search
  • Anna Manyanza

    Anna Manyanza ni
    mwanafasihi wa riwaya na hekaya za watoto. Riwaya yake ya kwanza, ‘Penzi
    La Damu’, imeshinda Tuzo ya Kiswahili ya Mabati -Cornell ya Fasihi ya
    Afrika, mwaka 2015.

    Penzi la Damu

    Price range: £16.00 through £17.00