Pages: 114

Year: 1984

Dimensions: 178 x 127 mm

ISBN:
Shipping class: POD

Najisikia Kuua Tena

“…Inspekta, najisikia kuua tena…” inadai
sauti katika sim ambayo imo mikononi mwa shupavu wa polisi. Hii ikiwa
simu ya pili, baada ya ile ya awali ambayo ilifuatwa na kifo cha
mwandishi maarufu, inamtia Inspekta hasira kali, nusu ya wazimu.
Anafanya yote awezayo kufanya ili amtie mwuaju huyu mikononi mwa
sheria…hapatikani…

Ndipo anajitokeza Joram Kiango. Mbinu zake
za pekee, pamoja na kutokwa jasho jingi, kunamwezesha kugundua mengi
amabyo yanaitisha dunia na kuitetemesha nchi nzima. lakini kila hatua
anayoipiga katika upelelezi wake inamsongeza karibu zaidi na kinywa cha
mauti chenye kiu ya damu yake, kilicho wazi kikimsubiri kwa hamu…

Price range: £15.00 through £16.00

About the author

Ben R. Mtobwa

The late Ben Mtobwa was one of Tanzania’s most prolific and prominent novelists. He was one of the founders of the popular novel in Swahili and is best know for his series of adventure novel featuring the investigator Joram Kiango.

Related books

Penzi la Damu

Price range: £16.00 through £17.00

Kufa na Kupona

Price range: £17.00 through £18.00

Njama

£18.00

Hofu

Price range: £17.00 through £18.00

Kikosi cha Kisasi

Price range: £17.00 through £18.00